Msanii wa Bongo Fleva ambaye anatamba kwa staili ya Crunk Bongo, Cpwaa baada ya kwenda nchini South African kushiriki tuzo za Channel O, but hakufanikiwa kushinda kwenye tuzo hizo ambapo msanii mwenzake toka Tzee, AY aliweza kututoa kimasomaso wa Tanzania baada ya kushinda kwenye tuzo hizo.
Latest infoz kutoka kwa Cpwaa baada ya kuchonga na BK Cop siku ya leo aliweza kufunguka kwa sasa ana mpango wa kwenda nchini Dubai kwa ajili ya kushoot video yake mpya maana location anayoitaka ni sehemu ya jangwa. Zaidi Cpwaa aliweza kusema video hiyo itafanywa na director Adam Juma chini ya kampuni
yake Visual Lab - Next level.
Hivyo mashabiki wake mkae mkao wa kula kuipokea video yake hiyo mpya.
0 comments