Open top menu
Thursday, December 20, 2012


Huko nchini Hispania imefunguliwa shule ya kutoa taaluma ya ukahaba ambapo mwanafunzi atatakiwa atoe Kiasi Cha Euro 100 tu kuanza mafunzo ambapo wamehakikishiwa upatikanaji wa kazi mara tu watakapohitimu mafunzo yao! Miongoni mwa mambo watayokuwa wanafundishwa ni historia ya mapenzi kupititia Mikao na Staili tofauti tofauti za KAMASUTRA na Midoli maalumu ya majaribio. 

 Matangazo ya shule hiyo yalianza kuonekana mwezi Mei mwaka huu na tayari imeshaanza uandikishaji na kupokea wanafunzi!

Tagged
Different Themes
Written by folclassic

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments