Ajali
iliyotokea majira ya saa kumi jioni ya siku ya juzi, Jumanne, Januari
29, 2013 ilisababisha kuvunjika na hatimaye kung'oka kwa mti wa
kumbukumbu uliokuwa katika “round about” jijini Mwanza.
Mti uliotumiwa na wakoloni Wajerumani kunyongea Waafrika, ulianguka mara baada ya gari la kampuni ya vinywaji ya Coca Cola lenye namba za usajili T988 AFB aina ya TATA kuugonga.
Dereva aliyesababisha ajali hiyo alikimbia.
Aidha, watu wengine wameligeuza tukio hilo kuwa sehemu ya burudani kuukaribisha mwaka mpya kwa kujiburudisha kwa soda nyingi zilizokuwemo ndani ya gari hilo lililokuwa halina mlinzi.
Mti uliotumiwa na wakoloni Wajerumani kunyongea Waafrika, ulianguka mara baada ya gari la kampuni ya vinywaji ya Coca Cola lenye namba za usajili T988 AFB aina ya TATA kuugonga.
Dereva aliyesababisha ajali hiyo alikimbia.
Aidha, watu wengine wameligeuza tukio hilo kuwa sehemu ya burudani kuukaribisha mwaka mpya kwa kujiburudisha kwa soda nyingi zilizokuwemo ndani ya gari hilo lililokuwa halina mlinzi.
0 comments