USIKU wa kuamkia leo kulikuwa na shughuli ya sherehe ya kuzaliwa kwa
dada wa msanii wa Bongo Fleva nchini Naseeb Abdul a.k.a Diamond
Platinum, nyumbani kwake Sinza Mori jijini Dar es Salaam, kikubwa
mtandao huu ulichokibaini ni juu ya shughuli hiyo kutawaliwa na
wasasambuaji au wazungusha nyonga wa Tandale na K/koo, waliokuwa
wamealikwa katika shughuli hiyo.
Mauno yalikuwa ya kumwagaaaa…
USIKU wa kuamkia jana kulikuwa na shughuli ya sherehe ya kuzaliwa kwa
dada wa msanii wa Bongo Fleva nchini Naseeb Abdul a.k.a Diamond
Platinum, nyumbani kwake Sinza Mori jijini Dar es Salaam, kikubwa
mtandao huu ulichokibaini ni juu ya
shughuli hiyo kutawaliwa na wasasambuaji au wazungusha nyonga wa Tandale na K/koo, waliokuwa wamealikwa katika shughuli hiyo.
shughuli hiyo kutawaliwa na wasasambuaji au wazungusha nyonga wa Tandale na K/koo, waliokuwa wamealikwa katika shughuli hiyo.
Mauno yalikuwa ya kumwagaaaa
Ndiyo habari ya mjini hiyo
Dada wa Diamond, kushoto akizungusha nyonga na mmoja wa marafiki zake waliokuwa wamehudhulia kwenye shughuli hiyo.