Open top menu
Wednesday, February 6, 2013


.

Gideon Mbuvi a.k.a Mike Sonko
Ni yule mbunge ambae niliwahi kuona akipigwa vita kuingia bungeni baada ya kuonekana mara kadhaa akiwa ndani ya bunge na amevaa hereni.
Ni mbunge anaependwa sana na vijana ambapo mtandao wa Ghafla umeripoti kwamba mbunge huyo amenunua gari dogo linaloonekana kwenye picha na kuamua kulipia gharama kubwa kwa kuliandika jina badala ya namba, kaliita SENATOR ikiwa ni ishara ya ndoto zake za kuchukua kiti cha Useneta wa jiji la Nairobi.




.

.
Tagged
Different Themes
Written by folclassic

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments