Ni yule mbunge ambae niliwahi
kuona akipigwa vita kuingia bungeni baada ya kuonekana mara kadhaa akiwa
ndani ya bunge na amevaa hereni.
Ni mbunge anaependwa sana na
vijana ambapo mtandao wa Ghafla umeripoti kwamba mbunge huyo amenunua
gari dogo linaloonekana kwenye picha na kuamua kulipia gharama kubwa kwa
kuliandika jina badala ya namba, kaliita SENATOR ikiwa ni ishara ya
ndoto zake za kuchukua kiti cha Useneta wa jiji la Nairobi.
Wednesday, February 6, 2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments