Open top menu
Showing posts with label Events. Show all posts
Showing posts with label Events. Show all posts
Friday, February 15, 2013
Msanii na Mshiriki wa Big Brother GOLDIE HARVEY  Amefariki Dunia Usiku wa Kuamkia Leo


Habari ya kushtusha iliyotokea usiku huu ni kwamba yule mshiriki wa Big Brother Africa 2012 na mwanamuziki maarufu nchini Nigeria, Goldie Harvey amefariki dunia.

Sio rahisi kuamini kwani Goldie ndo alishaianza safari ya mafanikio ya kuwa msanii mkubwa hapa Afrika na kufanya kazi na baadhi ya wasanii wakubwa ikiwemo Ambwene Yesaya kutoka Tanzania.

Taarifa inasema kuwa Goldie amefariki dunia usiku huu akiwa ndo amerudi kutoka trip yake huko Marekani, chanzo kamili cha kifo cha mwanadada huyu bado hakijawa wazi kwani tukio limetokea kwa ghafla sana usiku wa kuamkia leo.
Read more
Wednesday, February 13, 2013
no image


IMANI ya jamii ya siri ya Freemasons imeonekana kuuteka Mji wa Moshi na vitongoji vyake kutokana na matangazo mengi kubandikwa kila kona yakihamasisha wafuasi kujiunga huku ofa ya utajiri ikipewa kipaumbele.
Risasi Mchanganyiko limeshuhudia matangazo mengi yanayohamasisha kujiunga na imani hiyo yakiwa yamebandikwa kila kona ya mji huu ikiwemo katika nguzo za umeme.
 
Hall la Masonic moshi
Katika tangazo hilo, wahusika wameeleza kwamba watakaojiunga mapema watapewa magari ya kifahari na nyumba za kisasa ikiwa ndiyo njia za awali za kubadilisha maisha yao.
Mwandishi wetu alijifanya anataka kujiunga na kupiga namba za simu zilizowekwa katika tangazo hilo ambazo ni 0783 127 967 ambapo ilipokelewa na mwanaume aliyekataa kutaja jina lake lakini alitoa masharti ya kujiunga.
Read more
Tuesday, February 12, 2013
no image

valentines couples 2 copy (618x800)
Kampuni ya Tanzania Music Power Entertainment ya jijini Dar es salaam ikishirikiana na Hotel Demag imeandaa tuzo kwa wapendanao kwa mwaka 2013.
Hizo ni tuzo za mara ya kwanza kufanyika nchini ambapo kwa mwaka huu zitawatuza wapendanao wawili walio mfano wa kuigwa katika jamii katika kudumu kwao katika mapenzi kwa kuvumiliana. Pia wapendanao hao wawe wameweza kwa pamoja kurudisha kwa jamii kwa njia mbalimbali ikiwemo kutoa ajira au mchango mbalimbali kwa wahitaji.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Tanzania Music Power Entertainment, Phabian Duwe akifafanua jambo wakati wa kutangaza tuzo za wapendanao zitakazofanyika Februari 14 kwenye Hoteli ya Demag iliyopo  Mwananyamala jijini Dar es  Salaam. Katikati ni Meneja wa TMPE, Evelyn Munisi na Ludovick Mugasha.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Tanzania Music Power Entertainment, Phabian Duwe akifafanua jambo wakati wa kutangaza tuzo za wapendanao zitakazofanyika Februari 14 kwenye Hoteli ya Demag iliyopo Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Katikati ni Meneja wa TMPE, Evelyn Munisi na Ludovick Mugasha.
Kutokana na hilo kampuni ya TMPE imeona umuhimu wa kuwazawadia tuzo wapenzi wa namna hiyo kwa kutambua mchango wao katika jamii na kudumu katika mahusiano kwa muda mrefu bila mfarakano ulionekana wazi hadi katika jamii.
Kampuni hiyo itatoa tuzo hiyo ya The Best Couple 2013 kwa mtu yeyote katika jamii bila kujali itikadi yake ambapo anaweza kuwa mbunge,msanii wa muziki ama filamu, waziri ama mtu yeyote maarufu nchini.

Read more
Monday, February 11, 2013
Check Uzinduzi wa Video Mpya ya Ommy Dimpoz na Vanesa Mdee"ME AND YOU"

 Ommy Dimpoz na Vanessa Mdee baada ya kwenda Nairobi kwa ajili ya utengenezaji wa video yao mpya 'Me n You' chini ya production ya Ogopa video.
Sasa usiku wa kuamkia leo Ommy Dimpoz alikuwa akiizindua rasmi video yake mpya kwa mashabiki wake.Huku wakisindikizwa na Mwana FA,Dully sykes,Diamond Platinum.
Hizi ni baadhi ya picha za maisha club katika uzinduzi huo wa video mpya Me n You.

                                                          Ommy Dimpoz na Vanessa Mdee

                                                                     B Dozen EMCEE
                                                                 Diamond wa wasafi
                                                                      Mwana FA
                                                   
                                                                DJ Zero akishow love
                                                                  Warembo na Diamond
Read more
Saturday, February 9, 2013
no image

Mbishi


Ukitaka kuongelea wasanii wenye uandishi mkali wa mashairi ya Hip Hop kwanza kwa mtazamo wa wengi lazima umtaje Fareed Kubanda aka Fid Q na kisha utataja wengine lakini huwezi kuliacha jina la Nikki Mbishi. Uwezo wake si wa kitoto na tangu afahamike kumetokea kundi kubwa la wasanii wapya wa Hip Hop wenye uandishi kama wake. Ameweza kuinfluence wasanii wengi wanaomchukulia kama role model. Pamoja na kuwa na heshima hiyo, Nikki anafahamika kwa jinsi anavyopenda kujihusisha na beef kwa kuwadiss wasanii wenzie ambao wengine hawajahi kumjibu. Rapper huyu wa Kill Your Self amekuwa na uhasama wa muda mrefu na kundi la Weusi ambao amekuwa akiwapiga vijembe mara kwa mara hasa kwa kumlenga zaidi Bonta.
NIKKI MBISHI: WEUSI NI WATU WASIOTAKA ‘CHALLENGE’ KUTOKA KWA WATU WENGINE
Hivi karibuni Nikki Mbishi ameanzisha mfululizo wa diss zinazomwendea Ney wa Mitego na hata kurekodi wimbo maalum wa kumdiss rapper huyo wenye jina lake.
NEY WA MITEGO: ‘SIWEZI KUMJIBU NIKKI MBISHI, NAWEZA NIKAMLEA YEYE NA AKAISHI VIZURI NA KUMKODISHIA SALON YA KUSUKA’
Hata hivyo mashabiki wa Hip Hop wameanza kuonesha wasiwasi na kutopendezwa na muelekeo wa rapper huyu ambapo wengi wanadai anapoteza heshima yake.
Wiki hii kupitia ukurasa wa Facebook Nikki aliandika kile alichosema ni mashairi kwenye wimbo wa Ludacris yasemayo: Lord Forgive me for HIP HOP BEEF and forgive me for my DRAMA.
Kufuatia post hiyo, Uisso Ze HardShzee ambaye ni mmoja wa marafiki wa Nikki kwenye mtandao wa Facebook alimwambia: sure bro una drama sana,kuwa makini sio ishu ya kuendekeza hizo coz ni 2 sided. You better focus on music 4 real mbona unaweza tena sana tu.Mtazame Moko,Nash,Mansulii,Stereo the only thing they know is kusaka chamb n doing gud music for their fans, huwackii
Read more
Friday, February 8, 2013
Show ya Diamond Kigoma kwenye Maadhimisho ya Miaka  36 ya CCM

WAACHAAAAAFUUUUU.....!!


Doki Akiwa na Young Talent Boy From Kigoma......!!
Diamond akimsikiliza young talent toka kigoma....hapa ndo nilipoamini
Kigoma tumejaaliwa vipaji dogo wa miaka 10 anarap
kuhusu Mapenzi kiundani kama mtu mzima ambae
 ametendwa na amepitia mengi
kwenye Mapenzi...!!

Kazi ikaanza sasa...taratibu mzigo ukaanzia chini




Read more
Wednesday, February 6, 2013
no image

23c95fa66c0d11e2b9da22000a1faf53_7Now this is what we call a birthday party!! Hivi karibuni Miss Tanzania wa zamani Millen Happiness Magese aliangushiwa party ya kukata na shoka jijini New York Marekani. Party hiyo ilipewa jina la ‘A Birthday to Remember with Super Model Millen and Friends at Robert, NYC.
Kupitia Instagram mrembo huyo ambaye kwa sasa anaishi nchini Afrika Kusini alishare picha hizo na kuandika: My bday always on 31 st dec where I never even bother to celebrate because of so many reasons. But wow!am grateful The min I thought my bday was over here is my first ever bday dinner with my friends good pple.Thanks Guys. @funminewyork @ojinikao @k4kendra my friend @GbengaAkinnagbe @Jennifer @Anne Leonard @ muna@ ndidy @ Timothy my friend from 1 oak , I love you canise and my Georgie Badel my super model sisters( missing the rest who couldn’t make it from all over the world I love u all u know urselves)@Remi the list goes on and on. Thank you my darlings.
Tazama picha hizi za kuvutia za sherehe hiyo.
0d5f2edc6cba11e2984822000a1f9707_7
1af81d466c8e11e290d222000a9e0851_7
2eede0f86dae11e2b65722000a1fb376_7
Millen
Millen
Millen: Omg another cake???? Wow this made me emotional. Thank you Timothy thank u guys
Millen: Omg another cake???? Wow this made me emotional. Thank you Timothy thank u guys
Millen akiifurahia keki yake
Millen akiifurahia keki yake
4b0bde706c9111e280ba22000a9f1893_7
20cbebe26dad11e297bf22000a1f9263_7
Read more
Tuesday, February 5, 2013
no image




USIKU wa kuamkia leo kulikuwa na shughuli ya sherehe ya kuzaliwa kwa dada wa msanii wa Bongo Fleva nchini Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platinum, nyumbani kwake Sinza Mori jijini Dar es Salaam, kikubwa mtandao huu ulichokibaini ni juu ya shughuli hiyo kutawaliwa na wasasambuaji au wazungusha nyonga wa Tandale na K/koo, waliokuwa wamealikwa katika shughuli hiyo.
 
Mauno yalikuwa ya kumwagaaaa…
USIKU wa kuamkia jana kulikuwa na shughuli ya sherehe ya kuzaliwa kwa dada wa msanii wa Bongo Fleva nchini Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platinum, nyumbani kwake Sinza Mori jijini Dar es Salaam, kikubwa mtandao huu ulichokibaini ni juu ya
Read more
Sunday, February 3, 2013