Open top menu
Showing posts with label Gossip. Show all posts
Showing posts with label Gossip. Show all posts
Friday, February 15, 2013
Wednesday, February 13, 2013
Siri Kubwa ya Mzee majuto ya Kuonana na Mh.Jakaya Kikwete

 
Stori: Mwaija Salum
STADI wa sanaa za maonesho nchini, Amri Athuman ‘King Majuto’ amesema ameamua kumtafuta Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete kwa sababu ana siri nzito anayotaka kumpa.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete.
Akizungumza na Risasi Mchanganyiko juzi jijini Dar es Saalam, mkongwe huyo alisema ni kweli anahitaji msaada wa trekta  ambao anaweza kupewa na wasaidizi wake, lakini ana mengi anayotaka kumwambia rais.
 
Amri Athuman ‘King Majuto’
Read more
Tuesday, February 12, 2013
no image

IMG_0013
Gazeti maarufu la nchini Kenya, Daily Nation limetoa orodha ya wasanii watano wa Bongo Flava matajiri zaidi nchini. Hivi ndivyo lilivyofanya uchambuzi huo.
NASEEB ABDUL (DIAMOND)
He stayed in the shadows for long looking for a break but now that the limelight has been trained on him, he has proved that he belongs at the top of the music charts. He finally made a debut in 2009 with his hit song “Kamwambie”.
He is one of the most expensive musicians not just in Tanzania but the region and this does not seem to put promoters off as he is on the stage on a weekly basis. Want him for a show, you will have to pay him $4000 (Sh350,000). And that’s after a bargain.
This has enabled him to make a fortune for himself in a very short period of time. He owns mansions in Tanzania, acres of land, cars and shops.
JOSEPH HAULE (PROFESSOR JAY)
He began his music career in 1990 with a group called the Hard Blasters. It is this band that started the music style known as ‘muziki wa kizazi kipya’. The artiste has acquired his wealth through the many shows he does internationally.
He owns a beachfront mansion which has an in-built studio, drives a modest Toyota Spacio but don’t let that fool you, it’s not that he can’t afford fuel because he makes good money from his music and owns several parcels of land and is also a serious investor.
JUDITH WAMBURA (LADY JAY DEE)
She started her music career at the end of the 1999. She is one of the most respected Tanzanian artistes and has remained humble through her success. She is very hard working and this has led her to accumulate a good fortune to her name.
Her garage pays homage to a Nissan Murano, a Toyota Coaster minibus, Toyota Prado among others. She of course can’t own all those and rent. She owns a mansion. She also invests heavily and owns a band by the name Machozi.
AMBWENE YESAYA (AY)
Read more
Monday, February 11, 2013
Utata waliozua Jana Chris Brown na Rihanna kwenye Tuzo Grammy ni Utata Utupu

Pozi ambazo mastaa Chris Brown na Rihanna wameonyesha bila kujificha katika Sherehe za tuzo za Grammys mwaka huu, ...again zimekuwa katika Headlines mbalimbali huku kila mmoja akijiuliza ni nini wawili hawa wanataka kuieleza jamii.

Hii si mara ya kwanza kwa wawili hawa kutoka pamoja ama kuwa katika ukaribu huu unaoleta mashaka, na hizi ni picha 6 mpya za 'show off' ambayo wameifanya walipokuwa pamoja katika sherehe hizo mapema jana.

A million Tshs question is, Ni nini ambacho picha hizi zina-communicate kwako?





Read more
Saturday, February 9, 2013
Diamond afunguka Juu ya Huyu Mtoto wa Kike Through Facebook


IMG_0030

Siku za hivi karibuni kumekuwepo na ‘speculation’ kuhusu kama Diamond Platnumz na mtangazaji wa DTV VJ Penny ni wapenzi baada ya kusambaa kwa picha kwenye mitandao ya kijamii inayowaonesha wakiwa pamoja kitandani.
Jana Diamond alithibitisha rasmi kuwa kwa sasa anadate na mrembo huyo kwa kupost picha ya Penny (hiyo chini) kwenye mtandao wa Instagram na kuandika: #MaBabyMama #De’MumOfMyBlood #MamaYounDiamond #YounPlatnumz #YoungPrezident…..

Read more
Friday, February 8, 2013
no image

ney wa mitego
Rapper na hitmaker wa ‘Nasema Nao’ Ney wa Mitego ameimbia‘exclusively’ Bongo5 kuwa hana mpango wa kumjibu Nikki Mbishi aliyeandika wimbo wa kumdiss uitwao ‘New wa Mitego’. Miongoni mwa mashairi kwenye wimbo huo yanasema, “’Ney wa mitego, anagawa ndogo ka gay mwenye pepo’.


Pia February 6, Nikki alitweet, ‘I am deeply in love with this shawty named @Nay wa mitego’.Bongo5 imeongea na Ney kuhusiana na issue hiyo ambaye amesema hana mpango wa kumjibu Nikki kwakuwa anatafuta pa kutokea.


“Anatafuta pa kutokea mimi sitaki kuongea lolote kuhusu yeye. Mimi sitaki kufuatilia kwasababu nimeshagundua kuwa ni upuuzi, yeye anatafuta njia ya kupita mimi sitaki kuzungumza chochote, hata interview yoyote kuhusu yeye sitaki, yaani nalizungumza hili kwasababu nyinyi ni wanangu (bongo5) lakini nimekataa, nimekataa kabisa, sitaki kabisa kumzungumzia huyo mtu,” amesema Ney.


“Kama kuna wananchi ambao ni matahira wanaweza kuelewa hicho alichokifanya it’s okay. Mimi huwa namuimba mtu kwa kitu ambacho kila mtu anakiona na ndio maana nimekuwa na mashabiki wengi sana kwasababu mimi huwa naongea ukweli. Nikisema Chidi Benz katoboa pua ni kweli

Read more
Thursday, February 7, 2013
Kampuni ya  Steps Entertainment ya jijini Dar es Salaam imeingia kwenye Kashfa Nzito ya Kutumia Hirizi Mlangoni kwa ajiri ya Kuwazima wasanii

DUNIANI kuna mambo; wadau wa tasnia ya filamu nchini wameibua minong’ono inayodai kuwa kampuni maarufu ya kusambaza kazi za wasanii Bongo ya Steps Entertainment ya jijini Dar es Salaam, eti inatumia hirizi kuwapumbaza wasanii. 

Ushahidi uliowekwa hivi karibuni mezani kwenye dawati la Amani na mmoja wa wasanii nguli nchini ni uwepo wa kitu cheusi kinachohisiwa kuwa ni ‘king’amuzi’ cha jadi  kinachoning’inia juu ya usawa wa mlango wa kuingilia ndani ya kampuni hiyo.

“Wanatumia dawa, msanii unaweza kuondoka nyumbani na hasira lakini ukifika hapo unapoa,” alisema msanii huyo.

Read more
no image

INFphoto_2421352Jana wapenzi waliorudiana rasmi, Chris Brown na Rihanna walionekana wakitoka pamoja nyumbani kuelekea mahakamani jijini Los Angeles.Rihanna alikuwa amevaa sunglasses na mara nyingi alikuwa ameinama chini kuziba uso wake.
Mama yake na Chris, Chris na Rihanna Rihanna
Wapenzi hao walisindikizwa na mama yake Chris Joyce Hawkins wakati huu ambao Brown anadaiwa kudanganya masaa ya kazi alizozifanya kwenye jamii kama sehemu ya probation yake kufuatia kesi ya kumpiga Rihanna mwaka 2009.
Wakili wa Brown Mark Geragos na polisi wa Richmond Virginia wamekanusha madai hayo. Akiongea na waandishi wa habari jana Geragos alisema: Sijawahi kuwa na mteja aliyeteswa kama Chris Brown.
[Chris akiwa mahakamani 
Chris akiwa mahakamani
Read more
Mama Yake Diamond aamua Kuelezea Swala la Diamond na wanaovumishwa kwamba wana Uhusiano na Diamond Platnum


                                 Diamond, Wema na mama Diamond wakiwa katika pozi.
 MAMA wa staa wa songi la Kesho, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Sanura Kassim, amewakataa mademu wote waliodaiwa kutembea na mwanaye kwa kusema hakuna kati yao anayemtambua kama  mkwe wake.

Read more
Mtoto wa Mbunge Apata Kashfa ya Kukutwa na Mume wa Mtu Gest kama Inavyooneakana

MTOTO wa kigogo Bongo aliyepata kuwa mbunge wa jimbo moja jijini Dar es Salaam (jina kapuni) aliyetajwa kwa jina moja la Happy, amenaswa gesti akiwa na Muddy aliyedaiwa kuwa ni mume wa mtu, stori na chanzo chetu.Tunabainisha kuwa binti huyo (pichani) alifanya kitendo hicho cha aibu hivi karibuni maeneo ya Sinza kwenye nyumba moja ya kulala wageni ambayo inasitiriwa jina lake kwa sasa.
Read more
Wednesday, February 6, 2013
no image

WizkidUkiongelea wasanii watano wanaopendwa zaidi kwa sasa nchini Nigeria, huwezi kuacha kumtaja Wizkid. Yeye ndio Chris Brown wa Nigeria ama kama Tanzania basi yeye ndio Diamond. Anapendwa zaidi na wasichana ambao huzieleza wazi hisia zao kupitia Twitter ni kiasi gani wangependa hata kupata tu busu lake.
Jana kupitia Instagram huenda Wizkid amewaumiza wasichana wengi baada ya kupost picha ya mpenzi wake na kuandika ‘My fine lady’ na kuweka alama za kopa kuonesha jinsi anavyompenda.
Read more
Kilichotokea Kati ya Lady Jay Dee na Police mpaka kusababisha Jaydee Kuwachukia Police


Jana kupitia mtandao wa Twitter mwanadada Lady Jaydee alisimulia kitendo kilimchokera baada ya polisi walioitwa kwenda kumsaidia akiwa kwenye chumba cha hoteli baada ya kuzidiwa ambao waliamua kuwapigia simu waandishi wa habari za udaku waje wapate picha na habari.

“Police mnatumwa kuja kuni rescue mgonjwa Hotel Room, mnaita waandishi waje kuchukua story! Hamjanitendea haki, nimesikitishwa,” alitweet Jaydee.


“Nawaambia I can’t walk wananilazimisha shuka watu watakubeba gari tumepaki nyuma. Kumbe camera ziko chini huko zinangoja.”


Akijibu swaliu lililouliza kama waandishi hao walipata walichokitaka Jaydee alijibu, “I told them walete doctor humo hotel room kama hawaezi waondoke. Hotel staff told me nsishuke kuna camera chini.”

Read more
no image


.

Gideon Mbuvi a.k.a Mike Sonko
Ni yule mbunge ambae niliwahi kuona akipigwa vita kuingia bungeni baada ya kuonekana mara kadhaa akiwa ndani ya bunge na amevaa hereni.
Ni mbunge anaependwa sana na vijana ambapo mtandao wa Ghafla umeripoti kwamba mbunge huyo amenunua gari dogo linaloonekana kwenye picha na kuamua kulipia gharama kubwa kwa kuliandika jina badala ya namba, kaliita SENATOR ikiwa ni ishara ya ndoto zake za kuchukua kiti cha Useneta wa jiji la Nairobi.



Read more
Tuesday, February 5, 2013
Ujio wa mama Kanumba kwenye Movie ya "Without Dady"


MAMA Mzazi wa msanii nyota Tanzania marehemu Steven Kanumba ‘Kanumba’ Frola Mtegoa ameigiza filamu katika muendelezo wa kipaji cha mwanaye baada ya kuigiza katika filamu ya Without Daddy akishirikiana na watoto waliokuwa wakiigiza na marehemu Kanumba kama Patrick na Jamila, katika filamu hiyo mama Kanumba kaigiza katika kiwango cha juu.
.

Abdul Ahmed Jamila
Ben Blanco akiwa na wasanii wakali Jamila na mwenzake.
Read more
Saturday, February 2, 2013
Wema Sepetu afanya Kufulu Nyingine juu ya Mbwa wake

Actress and former miss Tanzania Wema Sepetu kama kawa ameshuka na mpya ya kumpulizia mbwa wake aitwaye Fiona pafyumu yenye thamani ya dola 120 (zaidi ya shilingi 180,000).Mkali huyo asiyekaukiwa na matukio Bongo amefunguka kuwa analazimika kumgharamia mbwa huyo pafyumu hiyo kwani ni moja kati ya viumbe ambavyo anavihusudu kupita maelezo.“Lazima anukie kama mimi ninavyonukia, pafyumu humfanya anukie vizuri hata ninapokuwa nimetoka naye mitaani naye anaonekana kweli ni mbwa wa staa,” alisema Wema. Kuhusu manunuzi, mkali huyo anayekimbiza kwenye soko la filamu Bongo alisema mara nyingi pafyumu hizo huwa anaagiza kutoka nje au kwa watu wake maalum hapa Bongo ili kuwa na utofauti wa ubora na hadhi yake ya kistaa.
Read more
Friday, February 1, 2013
no image


STAA aliyekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha msanii wa filamu Elizabeth Michael ‘Lulu’ anapata dhamana, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ amefunguka kuwa baada ya kufanikiwa kwa Lulu sasa anahamia kwa msanii mwingine, Kajala Masanja.     
 
Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ akiwa na Lulu pamoja na mama yake baada ya kukamilisha dhamana.
Akizungumza nje ya Mahakama Kuu jijini Dar baada ya Lulu kuachiwa, Dk. Cheni alisema kwa sasa anaanza mchakato wa kumsaidia Kajala mpaka ajue hatima ya kesi  inayomkabili.
Read more
Mama wa Marehemu Sharo Millionea Asema ya Moyoni Kuhusu Marry Lucas wa Sumbawanga msichana aliyejitokeza baada ya Sharo kufariki na kusema ana ujauzito wake


MAMA wa aliyekuwa msanii wa muziki na filamu Bongo, Hussein Ramadhan Mkieti ‘Sharo Milionea’ amefungukia gari aliloacha mwanaye pamoja na mimba ambayo inadaiwa ni yake. 


Akizungumzia  suala la gari, Mama Sharo amesema: “Kuhusu gari lile Toyota Opa aliloacha marehemu mwanangu naliuza kwani siwezi kuliendesha na haliwezi kukaa bila kufanya kazi yoyote.

“Kwa upande wa Marry Lucas wa Sumbawanga msichana aliyejitokeza baada ya Sharo kufariki na kusema ana ujauzito wake, siwezi kumtambua kwa sababu enzi za uhai Sharo hakuniambia kuwa ana mchumba wala mpenzi.”
Read more