Open top menu
Thursday, February 7, 2013


                                 Diamond, Wema na mama Diamond wakiwa katika pozi.
 MAMA wa staa wa songi la Kesho, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Sanura Kassim, amewakataa mademu wote waliodaiwa kutembea na mwanaye kwa kusema hakuna kati yao anayemtambua kama  mkwe wake.


Akipiga stori na paparazi wetu juzikati jijini Dar, Bi’ mkubwa huyo alisema amechoshwa kusikia mademu kama Wema Sepetu, Jokate Mwegelo na Penny wakinadiwa kuwa ni wachumba wa mwanaye wakati yeye huwa wanamuomba kupiga naye picha kama mashabiki wengine.
Tagged
Different Themes
Written by folclassic

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments