Msanii mahiri wa Bongo Fleva almaarufu kama King Zilla au Godzilla kutoka Salasala,baada
ya kufanya vizuri katika ngoma zote mwaka huu,sasa basi kama unakumbuka
siku zilizopita alishawahi kuzungumzia kuhusu video yake mpya ya "Nataka"
akasema kwamba ndiyo yupo katika hatua ya mwisho ya kumalizia video
hiyo.Sasa leo jioni kupitia katika ukurasa wake wa facebook aliweza
kuitoa rasmi video hiyo mpya akiwa amemshirikisha Marco Chali.
Tuesday, November 20, 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments