Open top menu
Tuesday, November 20, 2012


Damu ya ujasiriamali katika mwili wa rapper kutoka Mbeya Emmanuel Simwinga aka Izzo Bizness inaendelea kuchemka baada ya kuamua kufungua Internet Café na stationery.

Rapper huyo ameshare picha ya chumba cha biashara hiyo kupitia Twitter na kuandika, “Teku university soon Internet cafe pamoja na stationery zitaanza Kazi karibuni sana na tuko pamoja.”
Tagged
Different Themes
Written by folclassic

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments