| Nikiongea mawili,matatu kwa washiriki wa Maisha Plus pamoja na watu wote waliyoudhulia |
| Nikipokea zawadi kutoka kwa Babu wa Kijiji cha Maisha Plus.... |
| Nikiwa pamoja na Top 5 ya Maisha Plus |
| Top 5 wakiwa kizimbani... |
| Baadhi ya viongozi waliyoudhulia Final hizo akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo |
| Huyu ndiye Mshindi wa Maisha Plus akiwa na Babu baada ya kutangazwa kuwa mshindi Washiriki,Watu mbalimbali wakimpongeza Mshindi wa Maisha Plus.. |
.png)
By
7:11 AM

0 comments