Naomba
niseme hichi kitu... MIMI NI SHABIKI NAMBA MOJA WA WASANII WOTE
TANZANIA NA KIKUBWA ZAIDI HASWA WALE WANAOFANYA VIZURI KWENYE GAME HILI
LA BONGO. Juzi rafiki yangu na pia patna wangu kwenye business Roma
Tongwe alitoa wimbo wake mpya 2030 na akaamua yeye kuja kivingine yaani
ili uupate wimbo wake lazima uununue kwa shs elfu 3 na hakutaka uwepo
kwenye site au blog zozote. Watu wengi walitarajia wimbo nitauweka
kwenye blog kama nifanyavyo nyimbo za wasanii wengine, sasa sikuweza
kufanya hivyo kutokana sikupewa ruksa na wamiliki wa wimbo huo badala
yake nikawa naupromoti ili watu waweze kuununua kwa namba ambazo ni za
ROMA mwenyewe na si namba zangu. Sasa wametokea watu
wamenitukana sana
na kusema wimbo nasikiliza mwenyewe getto na demu wangu bila kufahamu
mimi mwenyewe rafiki mkubwa wa ROMA natakiwa niwe nao ni lazima niununue
ili kumuunga mkono mshkaji wangu ili maisha yaendelee hata nikija na
biashara yangu na yeye pia atanunua ndio urafiki ulivyo. Sasa
nakushangaa wewe unaniita CHOKO kwanza ukiniita Choko naona kama
umekosea herufi badala ya Choka ukaweka O so haliniumi coz nimezoea
kuitwa hivyo na Haters so naona kama unanisifia tu. NATAMKA MANENO HAYA,
NAHESHIMU KAZI YA MTU NA NAHESHIMU JASHO LA MTU NA NDIO MAANA SIWEZI
KUFANYA KITU BILA RUKSA YA MTU, Mtoto mzuri ni yule aliyepata malezi
bora kutoka kwa wazazi wake na akikuwa atanyooka na kuwa vile vile kama
alivyolelewa na wazazi wake. NIMEMALIZA #Roma203
wamenitukana sana na kusema wimbo nasikiliza mwenyewe getto na demu wangu bila kufahamu mimi mwenyewe rafiki mkubwa wa ROMA natakiwa niwe nao ni lazima niununue ili kumuunga mkono mshkaji wangu ili maisha yaendelee hata nikija na biashara yangu na yeye pia atanunua ndio urafiki ulivyo. Sasa nakushangaa wewe unaniita CHOKO kwanza ukiniita Choko naona kama umekosea herufi badala ya Choka ukaweka O so haliniumi coz nimezoea kuitwa hivyo na Haters so naona kama unanisifia tu. NATAMKA MANENO HAYA, NAHESHIMU KAZI YA MTU NA NAHESHIMU JASHO LA MTU NA NDIO MAANA SIWEZI KUFANYA KITU BILA RUKSA YA MTU, Mtoto mzuri ni yule aliyepata malezi bora kutoka kwa wazazi wake na akikuwa atanyooka na kuwa vile vile kama alivyolelewa na wazazi wake. NIMEMALIZA #Roma203
0 comments