Open top menu
Friday, January 25, 2013


Ni nyumba yenye muundo wa Italy ikiwa na thamani ya milioni 13 dola za kimarekani na ipo kwenye ukubwa wa 9000 square foot Las Angeles California.

Rapper Kanye West na TV Star Kim Kardashian siku kadhaa zilizopita wametengaza kwamba wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza kwa sababu Kim ni mjamzito kwa sasa.

Vilivyopo kwenye nyumba ni pamoja na beauty salon, basketball court na swimming pool mbili.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.
Tagged
Different Themes
Written by folclassic

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments