Open top menu
Tuesday, January 29, 2013

boss ladies
Ni warembo, famous, wana cash, wanapush ndiga za hatari na wana kila sifa za msichana wa kisasa anayejitegemea. Wanajiita Boss ladies!
Zari (Uganda) @Zarithebosslady
A_xW45DCMAAdsD8.jpg large
Msichana huyu tajiri, mfanyabiashara na mwanamuziki anasifika kwa kuendesha gari zenye gharama kubwa zaidi kuliko msanii yeyote nchi Uganda. Pamoja na kuwa na biashara zingine nyingi, Zari ni mwenyekiti mtendaji (CEO) wa brooklyncitycollege.co.za (chuo cha fani mbalimbali kilichopo Afrika Kusini).
A_CgKpiCcAAnWy2.jpg large
A_R-H0fCIAA63zt.jpg large
A_X2qQZCYAAzv0b.jpg large
A_xW45DCMAAdsD8.jpg large
BABaAjWCAAAFab0.jpg large
BAfx6n-CYAAhJgV.jpg large
A_xX-cuCMAEdkC6.jpg large
BAVc7ZoCcAItVEx.jpg large
BBDbCECCUAIogab.jpg large
BBSxtY1CUAAAeUF.png large
Hudah Monroh (Kenya)@HUDDAHMONROE
wpid-526212_331649673594499_624529696_n
Wanamuita Kim Kardashian wa Kenya. Ni msichana mrembo ambaye jina lake halisi ni Alhuddah Njoroge. Mwaka huu amekuwa akitajwa sana na mitandao nchini Kenya kuwa anaweza kuiwakilisha nchi hiyo kwenye shindano la BBA 2013.Ni model mwenye scandal kibao zikiwemo za kupiga picha za utupu.
28012_363503587075774_1581634983_n
huddah
601345_301370113289122_1304878098_n
HUDDA
huddah-monroe1
Jackie Cliff aka diva_bosslady (Tanzania)
432279_413332408735835_1107675494_n
Ni model wa Tanzania aliyewahi kuonekana kwenye music videos kadhaa za wasanii wa Bongo zikiwemo She Got a Gwan wa Mangwea na Nataka Kulewa wa Diamond.
3ed48816663111e2a95722000a9f09e9_7
4bfa321a663711e2aeda22000a1f973b_7
Gari la Jackie
Gari la Jackie
67adaece646b11e29b7122000a1f9a64_7
67f2ce8e689211e29e0522000a1fa50c_7
ae5b886a620811e2974122000a9e2969_7
Jackie stays here
Jackie stays here
The only question is: Can you handle these boss ladies?
Source:Bongo5
Tagged
Different Themes
Written by folclassic

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments