Open top menu
Saturday, January 26, 2013

 Gari la maji yakuwasha lahishiwa halina maji, askari walipanda wakashuka kulikimbia
Habari nilizozipata hivi punde kutoka Masasi ni kuwa maandamano yameanza tena na safari hii yanaongozwa na dereva boda boda ambao wameingia barabarani.
Risasi za moto na mabomu ya machozi yanapigwa kutawanya watu na tayari nyumba moja imechomwa moto. Gari la maji ya kuwasha limefika ila bado watu wanazidi kuongezeka
Tayari gari na nyumba ya mbunge imechomwa moto na vijanga wanazidi kusonga mbele wakiwa na madumu ya petrol


Mahakama ya mwanzo imechomwa.moto na polisi wamejifungia ndani.wanarusha mabomu ya machozi wakiwa ndani. Askari magereza wamejaribu kuwasha gari la maji ya kuwasha lakini bahati mbaya halina.maji hivyo wakashuka na kukimbia na wananchi wanataka kulichoma moto

Tagged
Different Themes
Written by folclassic

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments