Open top menu
Monday, February 11, 2013

 

 
1990- Nelson Mandela aliachiwa huru kutoka gereza la Victor Verster nje kidogo ya Cape Town South Africa baada ya kufungwa kwa miaka 27 kama mfungwa wa kisiasa.
Nelson Rolihlahla Mandela alizaliwa tarehe 18 Julai mwaka 1918. Ni rais wa kwanza aliyechaguliwa kidemokrasia  nchini Afrika Kusini,Alikuwa ni mwanasheria na mwanachama wa ANC aliyepinga siasa ya ubaguzi Afrika Kusini, Mandela alitumikia kifungo kutokana na harakati zake za kupinga ubaguzi wa rangi,
alifungwa katika kisiwa cha Robben, baada ya kuachiwa huru mwaka 1990 alianzisha sera ya maridhiano, mwaka 1993 pamoja na Frederik Williem de Klerk alikuwa mshindi wa tunzo ya amani ya Nobel.

Tagged
Different Themes
Written by folclassic

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments