Kufuatia mtikisiko uliolipata bunge
hususani kipindi cha bunge hili la mwezi huu kutokana na kusimamishwa
kwa mijadala ya hoja bungeni na kusitisha ile hoja ya Mbunge wa chadema
J,J Mnyika.
katika mkutano wa hhadhara uliolenga
kuwapokea wabunge wa upinzani wakitokea dodoma bungeni,Naibu katibu mkuu
na Mh Tundu lissu wamezungumza na wanachama na wapenzi wa chadema
kuhusu namna ya kuhakikisha Spika wa Bunge anawajibika katika hili.
Chadema wamependekeza njia mbili za kutumika kumng'oa spika wa bunge Mh.Anne Makinda nazo ni.
1.Kwanza ni kuhakikisha wabunge
tunapeleka hoja ya kumng'oa Anne makinda kwenye kiti chake cha
Spika.Zitto akasema ameshawasiliana na mnyika hoja hiyo ipo tayari.
2.Ni kumfanya Anne makinda (spika wa
Bunge) hana namna zaidi ya kung'oka.Mh Zitto kabwe akihutubia wanachama
wa chadema akapendekeza njia ya kutumia Umma kumhukumu Anne
makinda.Wananchi wakaomba namba ya simu ya Anne makinda na Job Ndugai
ili waweze kuwatumia ujumbe mfupi wa maandishi kwamba "KWANINI
UNALICHEZEA BUNGE,TUNAOMBA UNG'OKE"
Namba za simu zilitolewa kwa wananchi zoezi lililosimamiwa na Mbunge wa Arusha mjini Mh:Godbless Lema.
Namba ya Anne makinda iliyosomwa ni hii.
voda:0754465226
Tio:0713 " " "
namba ya Job Ndugai Ni
Voda:0762 605951
tigo:0655 " " "
Mh lema akawataka wananchi kuisambaza namba hiyo kwa ndugu na jamaa ili wafikishe ujumbe kwa spika wa bunge.
0 comments