Open top menu
Thursday, November 15, 2012

chuo cha TIA campus ya dar es  salaam yafanya uchanguzi wa viongozi wa serikali ya wanafunzi kesho uchaguzi huo hunahusi nafasi mbalimbali za uongozi ikiwepo nafasi ya raisi,makao wake na mawaziri pia na wajumbe wa kamati mbalimbali ikiwa leo ni siku ya mwisho ya kampeni ambapo kesho ndio siku yenyewe ya kupiga kura   nafasi ya raisi  inagomabaniwa na KHIMJI HANIFU, GIFT JENGELA NA AUGUSTION THEDEO  wakati nafasi ya makamo inagombaniwa na SAMWELI CHAWANGO,MWASITI KAMWENGA NA MATHIAS LUKALA. kila mgombea ametoa sera zake nini atakifanya akichaguliwa tulijaribu kuaongea na baadhi ya wanafunzi wakasema wao wanasubiria tu hizo ahadi
zitimize maana unakuta wakichaguliwa muda mwengine hawatimizi ahadi au wanashindwa kutetea haki za wanafunzi hayo ni maneno ya baadhi ya wanafunzi wa chuo hicho maana kila mgombea ameahidi chake kama ndo hivyo tusubirie hiyo kesho nani ataibuka kidedea katika uchaguzi huo
Tagged
Different Themes
Written by folclassic

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments