Open top menu
Saturday, November 24, 2012

KWA HABARI zilizotufikia hivi punde zinadai kuwa msanii muigizaji ambaye anatambulika kwa jina la John Stephano amefariki dunia asubui ya kuamkia leo akiwa amelazwa katika hospitali ya muhimbili kwa ajili ya matibabumsanii huyu ameshaigiza filamu mbalimbali ikiwemo ya mrembo kikojozi pamoja na nyingine nyingi 


Tagged
Different Themes
Written by folclassic

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

No related article available

0 comments