Open top menu
Tuesday, November 13, 2012

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Suma Mnazaleti, baada ya ngoma yeke ya kutamba na ngoma yake kwa jina la “Chukua Time” along side Ommy Dimpoz  sasa anatarajia kuachia track mpya inachokwenda kwa jina la ‘Asante’, ambayo amefanya na msanii kutoka nchini Nigeria anayefahamika kwa jina Dan Joh ambaye pia ni ya producer anayeipika ngoma hiyo.
Suma anazidi kufunguka kwa kusema  kuwa kujuana na msanii huyo kulikuja wakati alipokuwa Nairobi Kenya, ambapo alitaka kufanya ngoma moja kali ndipo alipoambiwa kuwa kuna jamaa mkali yupo Nigeria anaweza kusimama vizuri, na baada ya hapo wakafanya mazungumzo na huyo jamaa, baada ya makubaliano wakamtumia beat ili aingize Chorus.

Hivyo mashabiki wake mkae mkao wa kula kupokea ujio huo mpya wa Suma Mnazaleti collabo na Mnigeria huyo baada ya kujitoa kwenye kundi la Mtanashati alipokua akifanya nao kazi awali.
Tagged
Different Themes
Written by folclassic

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments