Kama wewe unapenda HipHop basi ningependa kukufahamisha kwamba kila Jumamosi unakaribishwa pale Msasani club mkabala na Ofisi za Zantel huwa kuna zile ladha za Hip Hop kutoka katika kundi la Tamaduni Muziki ambalo lina wasanii zaidi ya 20 na wasanii ambao wanajulikana katika tasnia hii ya muziki wanaofanya vizuri katika game hii ambao wapo katika kundi hilo ni Stereo,Nikki Mbishi,Songa,Ghetto,Nash emcee,Man-suli na wengineo.
P THE EMCEE
Man-suli
Timu nzima ya Tamaduni Muzik
Written by folclassic
Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.
No related article available
0 comments