Open top menu
Monday, January 7, 2013


 Huyu ni mwanamke  aliyekutwa  akiwa  hoi  baada  ya  kunywa  pombe  kupita  kiasi.....

Sakata hili ambalo  lilitokea katika  party  ya rafiki yake lilizua  gumzo  kubwa baada  ya  mrembo  huyu  kujikojolea....



Mwanzo  alionekana  akiwa  ni  mtu mwenye furaha na  mchangafu.Baada  ya  pombe kumwelemea,  binti huyu alijisogeza pembeni na  kujilaza  na  ndipo  aibu  ya kujikojolea  ilipomkumba


TAHADHALI

Ulevi ni noma!!!!!!!!!!!!!
Tagged
Different Themes
Written by folclassic

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments