Open top menu
Sunday, January 20, 2013



Vijana wa kinondoni waibuka kidedea katika mashindano ya kucheza miondoko yenye asili ya Afrika ya Kusini inayojulikana kwa jina la 'Kwaito' baada ya kuwashinda vijana wa Ukonga Gongolamboto

Mashindano hayo yalifanyika jijini Dar es Salaam 'Club Shemshi' Gongolamboto yaliyoandaliwa na Pro 24 Djs huku vijana wa Kinondoni kuibuka vinala wa miondoko hiyo


Vijana wa Gongolamboto walionekana kuwaogopa vijana wa Kinondoni kwa kutokana na aina ya uchezaji wao ambao ulionyesha vijana hao wanauzoefu wa miondoko hiyo



"Watoto wa Gongo la Mboto wanaogopa kucheza kwa sababu hawajui wameshazoea miondoko ya kizamani sisi ndiyo kila kitu" alisikika mshabiki wa Kinondoni akisema


Mashinado hayo yaliandaliwa na Pro 24 djs ikiwa ni sehemu ya kutimiza neno lao la Utamu Night ambapo wanapiga muziki kila siku ya Ijumaa mahali hapo
Tagged
Different Themes
Written by folclassic

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments