Open top menu
Friday, January 4, 2013

Kama unakumbuka mwishoni mwa mwaka jana, mwanamuziki na kiongozi wa Machozi Band, Lady Jaydee alitangaza kupanda Mlima Kilimanjaro mapema mwaka huu wa 2013 ikiwa ni sehemu ya kuwashawishi watanzania na fans wake kuhusu utalii wa ndani, sasa Lady Jaydee ameanza safari hiyo ya kuelekea Mlima Kilimanjaro na siku ya Jumatatu ndo ataanza kuupanda mlima wenyewe.
Tagged
Different Themes
Written by folclassic

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments