Mkongwe
huyo wa muziki wa bongofleva akiwa na familia yake,kutoka kuli ni mama
wa familia hiyo Asha Msindi,anayefuatia ni baba wa familia hiyo Seleman
Msindi .a.k.a dume la simba,aliyempakata ni mtoto wake mdogo anayeitwa
Asante sana[miezi 9] na wa mwishoni Tunda[10].mtandao huu unampango wa
kufanya mahojiano na Afande Sele pamoja na Mama Tunda kwa lengo la
kutaka kujua ni sababu zipi lilizosababsiha Tunda na mdogo wake wapisha
kwa umri wa miaka 10
Mtandao
huu baada ya kupiga picha kadhaa wakati Afande Sele alipotembelewa na
ugeni huo mzito wa Wema Sepetu,baadae mdaku wa Mtandao huu alipekuwa
chumba cha Afande Sele na kukuta picha kubwa ya mnyama simba mwenye sura
ya Afande Sele ikiwa imecholwa kwenye ukuta wa chumba chake,ambapo
baadae Afande Sele alimtaka mpiga picha wa Mtandao huu kupiga picha na
Simba huyu mwenye mfano wa Sura yake
Jua Machache Kuhusu Afande Sale Ikiwemo na Picha ya Simba mwenye sura yake aliyoichora Chumbani kwake Ukutani
Related Posts
- KONDOA:Binti wa Miaka 23 ambaye ni mlemavu wa Viungo vyote atoa stori yake alivyobakwa akiwa hivyohivyo mlemavu na Kusababisha Kuzaa Mtoto huyu
- Vazi la Utata la Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki"Shyrose Bhanji"Sehemu yote ya Kitovu njenje
- Mtoto Mdogo(Rayuu a.k.a Mama Tattoo) aonesha Tattoo yake mpya aliyochorwa kwenye Mguu
0 comments