Open top menu
Saturday, January 12, 2013


WAKATI kukiwa na tetesi kuwa lile kundi la muziki wa bongo fleva Pah One, limevunjika meneja wa kundi hilo amekana ishu hiyo na kudai kuwa kundi bado lipo lakini kikubwa ambacho kilitokea ni kutokuelewana ndipo baadhi ya wasanii walipoamua kusafiri na kubaki wawili na watakaporejea wataendelea kama kawaida.

Kundi hilo linaundwa na vijana wanne ambao ni Nahreel , Ola, Aika na Igwee ambao wamekuwa wakifanya muziki wa tofauti ambao unaweza kuwatambulisha zaidi hata kimataifa.

Hata hivyo meneja huyo alipotakiwa kujitambulisha jina lake alidai huwa hapendi jina lake litokee kwenye vyombo vya habari na kitu anachokifanya yenye ni kuwasaidia vijana.

Tagged
Different Themes
Written by folclassic

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

No related article available

0 comments