Ni habari toka hukoMarekani ambapo mwanadada Naomi Thriepland (25)
amekamwatwa na shehena ya madawa ya kulevya yenye thamani ya zaidi ya
shilingi za kitanzania Billioni 2.14. Madawa hayo yalikamatwa katika
gari alilokuwa akiendesha mrembo huyo kuelekea Amsterdam. Ndani ya Gari
alikuwa na binti yake wa miaka 7 ambaye alimfanya kama chambo kwani
alipata kuwadanganya maaskari kwamba alikuwa anampeleka mwana huyo
Disney Land Kutembea.
Akisomewa
mashtaka hayo, hakimu amesema hakutegemea kwa mtu aliyepitia mafunzo
kama yake kufanya kitendo kama hicho na amehukumiwa kutumikia kifungo
cha miaka 4 jela. Hivyo basi Naomi ambaye ni mjamzito wa miezi 4
atajifungua mtoto wake wa pili akiwa gerezani.