Open top menu
Thursday, January 31, 2013





 Ikiwa ni takribani miezi 9 tangu afiwe na mama yake mzazi kwa ugonjwa wa kiharusi katika hospitali ya Muhimbili,,msanii Suma Lee, anaeiwakilisha Tanga vizuri, leo hii, saa moja lililopita ameandika kupitia ukurusa wake wa facebook, kuhusu kifo cha baba yake mzazi anaeiitwa Sadiki Iddi. 
"BABA MZAZI WA ISMAIL AMEFARIKI MZEE SADIKI IDDI . INNA LILLAHI WA INNA ILAIHI RAJIUUN. HABARI ZIWAFIKIE NDUGU JAMAA NA MARAFIKI."
Suma hajaelezea chochote cha zaidi kama yuko wapi, kafariki kwa ugonjwa gani na mazishi yatakua wapi...Tumejaribu kumpigia sim hapatikani huku wengine wakidai yuko nje ya nchi..habariz aidi utazipata hapa, kadri tutakaviyozipata...Mungu ailaze roho ya marehem mahali pema peponi. AMEN
Tagged
Different Themes
Written by folclassic

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

No related article available

0 comments