Open top menu
Friday, January 18, 2013

Mabingwa wa soka Tanzania, Simba walifungwa mabao 3-1 katika mechi ya kirafiki dhidi ya timu ya taifa ya jeshi la Oman..
mechi ilichezwa Ijumaa jioni kwenye uwanja wa Qaboos complex jijini muscat.
Bao la simba lilifungwa katika kipindi cha pili na Haruna Moshi 'boban'.
Mwenyekiti wake Ismail Aden Rage alikuwa jukwaani pamoja na viongozi wengine wa Simba, Rahma Al Kharusi na Musleh Rawahi pamoja na kocha Talib Hilal wakiishuhudia simba ikizama mbele ya wanajeshi hao ambao kikosi chao kina wachezaji tisa wanaocheza timu ya taifa ya Oman.
Boban na wenzake wakishangilia goli
Washabiki wa Simba wakishangilia goli lilofungwa na Boban
Kaseja, Mwinyi Kazimoto, Mrisho Ngassa, Sunzu wakiwa benchi huku wakizungumza na mfadhili wa safari yao Bi.Rahma na mwenyekiti wao Aden Rage.
Mwenyekiti wa Simba Ismail Aden Rage akiwa wenyeji wake huko Oman wakiangalia Simba ikisurubiwa na wanajeshi. (
PICHA NA SALEH ALLY WA CHAMPIONI/GLOBAL PUBLISHERS
Tagged
Different Themes
Written by folclassic

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments