Boban na wenzake wakishangilia goli |
Washabiki wa Simba wakishangilia goli lilofungwa na Boban |
Kaseja, Mwinyi Kazimoto, Mrisho Ngassa, Sunzu wakiwa benchi huku wakizungumza na mfadhili wa safari yao Bi.Rahma na mwenyekiti wao Aden Rage. |
Mwenyekiti wa Simba Ismail Aden Rage akiwa wenyeji wake huko Oman wakiangalia Simba ikisurubiwa na wanajeshi. ( PICHA NA SALEH ALLY WA CHAMPIONI/GLOBAL PUBLISHERS |
0 comments