Open top menu
Monday, January 21, 2013

Simba imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Ahli Sidab ya daraja la kwanza hapa Oman. Wenyeji hao walikuwa wa kwanza kupata bao kupitia kwa Mbrazil, Lopez lakini Kiggi Makasi akasawazisha na kipindi cha pili Amri Kiemba akapachika bao la pili...Wachezaji watatu wa kikosi cha kwanza Boban, Mwinyi na Kazimoto walikuwa nje, Sunzu hakucheza, pia Abel Dhaira....
Baada ya mechi, mdhamini wa safari hiyo hapa Oman, Rahma Al Kharusi aliwapongeza wachezaji na benchi la ufundi na kuahidi kuja kuzungumza nao Jumatatu mchana na kula nao chakula cha mchana. Kambi ya Simba inafikia tamati keshokutwa Jumatano...



Kocha wa Simba Patrick Leiwing akisalimiana na mdhamini wa safari ya Simba nchini Oman Rahma Al Kharusi


SOURCE :Shafii
Tagged
Different Themes
Written by folclassic

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments