Open top menu
Thursday, November 1, 2012


Cloud 112 moja kati ya wasanii wanaofanya vizuri katika upande wa Bongo movie hapa Tzee. Muigizaji huyu  baada ya kutamba na movie kama “Maisha“,”Penzi la Giza naTripple Lsiku ya leo tumeweza kupata kwamba kwasasa ameshamaliza movie yake mpya katika upande wa uandaji na soon anatarajia kutoa movie hiyo.


Movie hiyo mpya Cloud ameifanya chini ya kampuni yake kwa jina la “CY & CL” itaitwa “Sangata” ambayo ameeleza mambo mengi muhimu ambao yanaelimisha jamii moja kwa moja kama maswala la mapenzi, chuki, Hasira na vitu vingine vingi.
Akiwa kama Producer na Director wa movie hiyo Cloud anasema ametumia takribani Million 20 za Kitanzania kukamilisha movie hiyo na mashabiki wake mkae tayari kuipokea soon itakapo ingia sokoni.
Tagged
Different Themes
Written by folclassic

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments