Open top menu
Thursday, January 3, 2013

 

 VURUGU za makusudi zilizokuwa zimelenga kuharibu onyesho la msanii Naseeb Abdul “Diamond” katika ukumbi wa New Club Maisha, zilikwama.
 Watu hao waliendelea kufanya vurugu na kutupa chupa za maji jukwaani hali iliyopelekea wapenzi wa Diamond kuanza kujibu mapigo ghafla ukumbi ukawa uwanja wa vita, zikaanza kurushwa chupa za bia, viti na mambo mengine yaliyotishia amani hadi pale walinzi wa ukumbi huo walipofanikiwa kuwatoa nje na onyesho likaendelea.
Diamond akiwa jukuwani na jasho likimtoka,kwa mabishano hayo.


  

Wafanya kazi wa Maisha club wakisafisha Steji baada ya mashabiki kutupa chupa wakati Diamond akiimba.

Tagged
Different Themes
Written by folclassic

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments