Open top menu
Thursday, January 10, 2013

Mwanafunzi amkata girlfriend wake kichwa baada ya kufanya nae mapenzi


Imetokea kwenye jimbo la Niger, aliofanya unyama huo ni mwanafunz wa chuo cha Federal University of Mechnology Minna, anaitwa Godwin Edeko na ameshakamatwa na Niger state police, mtuhumiwa alijifungia ndani na msichana uyo kwa siku 3,majiranI walisikia kelele,na jamaa akakimbia,majiran walivyoona kimya wakaingia ndani na wakamkuta msichana amekatwa kichwa,uchunguz zaidi unaendele.

Sasa kama ni wivu wa mapenzi au ni kisa chochote sisi Habari Vyuoni tunatoa tahadhari kwa wapenzi wote walio katika vyuo vyetu tuwe makini na partners wetu wengine wanakuwa na background mbaya maishani mwao. Wengine wanakuwa na hasira kupita kiasi, na wengine wanaweza kuwa na tatizo la akili. Inatakiwa mfahamiane vizuri kablya hamjaingia kwenye mapenzi ya kuingia chumbani. Kitu kama hiki kilichotokea Niger kinaweza kutokea hata hapa Tanzania…
Different Themes
Written by folclassic

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments