Open top menu
Sunday, January 13, 2013

Muigizazi wa Bongo Movie Amanda Poshy akiwa na Mpenzi wake Bwana Misosi.
Amanda akiongea na wadau wake katika wall yake ya Facebook siku ya jana "maneno yake haya ...Kiukweli nasema kutoka moyoni na inawezekana nikaonekana kama chizi lkn Nampenda sana bby wng tena kuliko maelezo na nina uhakika yy pia ananipenda.....namuomba Mungu atuvushe kipindi hiki tulichokuwepo ili tufikie malengo.....Mungu tusimamie tuje kuwa mfano wa kuigwa na watu wengine.......nawashukuru sana kwa wale wote waliokaribu na sisi na muendelee na moyo huo huo........Mungu tusaidie..."

          
                                 Amanda Poshy akiwa katika muonekano mpya kwa mwaka 2013.
Tagged
Different Themes
Written by folclassic

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments