Baadhi ya askari wa kutuliza ghasia wakiwa wamekaa tu baada ya kuwa hawana cha kufanya kwani maandamano hayakuwepo.
Mitaani Kariakoo leo hadi sasa saa kumi,shughuli zinaendelea kama kawaida
Askari wakipiga soga kwenye gari lao lililopaki.
Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.
© 2013 Mwanachuo+255 is designed by Templateify , Your Link Here
0 comments